Wednesday, 29 July 2015

Arturo Vidal ndani ya jezi mpya za Bayern Munich

kiungo wa timu ya taifa ya chile Arturo Vidal amejiunga rasmi na klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani kutoka Juventus ya Italia
kwa uhamisho wa pauni milioni 28 mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 amesaini mkataba wa miaka minne hadi 2019

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 KaribuVijana