Marehemu Bobbi Kristina KUzikwa jumatatu ijayo
Marehemu Bobbi Kristinafamilia ya marehemu bobbi kristina- mtoto wa marehemu whitney houston mesema kuwa itakusanyika hii august 1 kuomboleza maisha
ya mpendwa wao aliyefariki dunia jumapili iliyopita kwa mujibu wa US magazine( gazeti la marekani ) ndugu watajikusanya katika
kanisa la st.james methodist huko apharetta Georgia Marekani jumamosi na atazikwa Jumatatu ijayo August 3 pembeni na alipozikwa marehemu mama yake
Whitney Houston katika makaburi ya Fairview huko New Jersey
Marehemu Whitney Houston
0 comments:
Post a Comment