Makundi ya ligi Ya Mabingwa Ulaya kwa msimu wa 2015/2016 yatangazwa
Makundi ya ligi Ya Mabingwa Ulaya kwa msimu wa 2015/2016 yatangazwa, makundi hayo yatoka katika droo iliyofanyika mjini monaco nchini Ufaransa August 27 na kuhudhuriwa na wachezaji kadha wa kadha wa soka kama Cristiano Ronaldo , Lionel Messi , Andres Iniesta na Luis SuarezMakundi ya ligi ya mabingwa ulaya msimu 2015/2016
Tweet
0 comments:
Post a Comment