Monday, 3 August 2015

Lericester City yamsajili kiungo mfaransa Kante

N'Golo kante


Leicester city imemsajili kiungo mfaransa N'Golo kante kutoka klabu ya Caen ,Kante mwenye umri wa miaka 24 amesaini mkataba wa miaka 4 na anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa katika klabu hiyo chini ya kocha mpya Claudio Ranieri , jumamosi hii atajiunga katika kikosi hicho katika mchezo baina yao na Sunderland anawaunga wachezaji kadha waliosajiliwa leicester city kama Robert Huth, Christian Fuchs and Shinji Okazaki .





0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 KaribuVijana