Monday, 27 July 2015

Malaika anayedaiwa kuanguka nchini Uingereza

Kumekuwepo na picha ikimuonyesha 'Malaika' anayedaiwa kuanguka huko Uingereza hivi karibuni na kuzua gumzo kubwa miongoni mwa watumiaji wa mtandao ambao wanaishia kuona picha bila kufahamu ni nini kilichotokea hadi kufikia 'kuanguka' kwa malaika huyo..! Maswali mengi yamekuwepo na miongoni mwa maswali hayo ni pamoja na..

1. Kwanini hajaanguka malaika mweusi?

2. Nguo alizovaa ameshonea duniani ama mbinguni?

3. Akitaka kuondoka je? Itakuwaje?

4. Mbinguni wanajua kama 'malaika' wao ameanguka duniani?


kiumbe1

kiumbe2

kiumbe3

kiumbe4

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 KaribuVijana