Friday, 4 September 2015

Dimitar Berbatov katika klabu ya PAOK ya Ugiriki katika picha za mapokezi


Mshambuliaji huyo wa Kibulgaria mwenye umri wa miaka 34 amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili akitokea katika klabu ya AS Monaco. Dimitar Berbatov ameingia katika usajili wa kihistoria wa klabu ya PAOK baada ya kusaini mkataba wa miaka 2.


Mara nyingi katika Ligi kubwa duniani mshambuliaji anayefanyiwa utambulisho maalum uwanjani ni yule mwenye jina kubwa pamoja na uwezo mkubwa uwanjani, licha ya Berbatov kuonekana kaisha uwanjani, kwa upande wa Ugiriki Septemba 3 ilikuwa ni siku yake maalum ya kutambulishwa mbele ya mashabiki 10000 katika uwanja wa Toumba.







0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 KaribuVijana