Monday, 17 August 2015

Timbaland anataka kufanikisha Album kwa Kuwashirikisha hawa...


prodyuza maaarufu wa muziki Timbaland aliweka vichwa vya havari katika mitandao ya kijamii baada ya kupost picha katika mtandao wa instagram picha hiyo ikwajumuisha Drake , J Cole na Kendrick Lamar na kuandika maneno haya yafuatayo katika picho iliyo hapo

Do Yall think this would b dope album to do????? Yall thoughts produce by me Pharrel 40 Dre mr west

A photo posted by Timbo the King (@timbaland) on







0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 KaribuVijana