Thursday, 20 August 2015

Professor Jay achukua fomu ya kugombea ubunge 2015

Good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya msanii mkongwe wa Hip Hop, Joseph Haule a.k.a Professor Jay naye amechukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika jimbo la Mikumi mkoani Morogoro.










0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2014 KaribuVijana